MAPIGO
Thursday, December 11, 2014
Thursday, November 20, 2014
KIDUMU KURUDI RWANDA NA BIRTHDAY CONCERT
Tuki ongea na Manager wake AHMED Pacific, ametutangazia kwamba Kidumu anakuja Rwanda siku ya Ijumaa tarehe 28 November 2014 kwaajili ya Concert moja tu ambayo itafanyikia Kigali SERENA Hotel, ambapo msanii huyu ata kuwa akisherekea miaka 40 ya kuzaliwa na akiwa ba\do yupo kwenye mziki.
Na kwenye concert hii atakuwa kasindikizwa na msanii kutoka Burundi anaye julikana kama SAT-B pamoja na Man Martin msanii maarufu wa Rwanda.
NEW MUSIC - JOSE CHAMELEONE - MILLIANO.
Msanii kutoka Uganda Jose Chamelione ambaye ni msanii maarufu sana Africa Mashariki, ame achia ngoma mpya iitwayo MILLIANO. Msanii huyu amekuwa ni msanii wa all the time yaani kila mara akitoa ngoma ni noma
Artist - Jose Chameleone
<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=413lwza76oqo" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>
Saturday, October 18, 2014
new video Hali na Mali Kidumu Ft Shela
https://www.youtube.com/watch?v=-Rjb4_-J_M8https://www.youtube.com/watch?v=-Rjb4_-J_M8
RAPPER T.I KUTOKA MAREKANI KU PERFORM LEO TANZANIA
Mwanamziki wa miondoko ya Hip Hop maarufu ulimwenguni T.I kutoka U.S.A leo hii atakuwa aki perform Tanzania Dar es Salaam, Ndani ya Leaders Club kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2014.
Serengeti Fiesta huandaliwa kila mwaka na Clouds Media Group ambao ni wakongwe waandaaji wa matamasha makubwa nchini tanzania
Wakati wakazi wengi wa Tanzania walipo kuwa wana msubili mkali T.I siku ya tarehe 17 Oct 2014 T.I alitupia Attention massage kwenye Twitter yake kwaajili ya wapenzi wa mziki wake, Chek apo chini.
Serengeti Fiesta huandaliwa kila mwaka na Clouds Media Group ambao ni wakongwe waandaaji wa matamasha makubwa nchini tanzania
Rapper T.I
Tweet ya T.I
Nahii ndio stage ambayo T.I atakapo Malizia mpago mzima usiku wa leo.
Wednesday, October 15, 2014
Msanii Mkubwa wa Reggae Legend Freddie McGregor atafika Kenya
Msanii wa kimataifa Mc Gregor ina semekana kuwa atafika Mjini Nairobi Kenya kwaajili yaku Perform mwezi
November tarehe 29
Legeng Mc Gregor
Miss MUTESI AURORE KWENYE MASHINDANO YA (Miss Fashion Beauty Universal)
Aliyekuwa Miss Rwanda mwaka 2012 Miss Mutesi Aurore baada ya kushiliki mashindano mengi tofauti, sasa atajwa kuwa ni mmjoa kati ya washiriki wa shidano jingine linalo julikana kama (Miss Fashion Beauty Universal) Mrembo huyu ndio anaye tangazwa kuwakilisha Rwanda katika mashindano hayo. Ikiwa ina repotiwa kuwa ata kutana na werembo wengine 50 kutoka nchi mbali mbali duniani kwaajili ya mashindano.
Miss MUTESI AURORE
Miss MUTESI AURORE
Mpaka sasa mchujo una endelea, naku vote ni kupitia facebook
ambapo unaingia kwenye facebook na kufanya like picha ya ambaye unataka
aendelee.
Apa chini unaweza kuangalia picha za warembo wengine wanao shiriki masindano
Subscribe to:
Posts (Atom)