Aliyekuwa Miss Rwanda mwaka 2012
Miss Mutesi Aurore baada ya kushiliki mashindano mengi tofauti, sasa atajwa kuwa ni mmjoa kati ya washiriki wa shidano jingine linalo julikana kama (Miss Fashion Beauty Universal) Mrembo huyu ndio anaye tangazwa kuwakilisha Rwanda katika mashindano hayo. Ikiwa ina repotiwa kuwa ata kutana na werembo wengine 50 kutoka nchi mbali mbali duniani kwaajili ya mashindano.
Miss MUTESI AURORE
Miss MUTESI AURORE
Mpaka sasa mchujo una endelea, naku vote ni kupitia facebook
ambapo unaingia kwenye facebook na kufanya like picha ya ambaye unataka
aendelee.
Apa chini unaweza kuangalia picha za warembo wengine wanao shiriki masindano
No comments:
Post a Comment