Thursday, November 20, 2014

KIDUMU KURUDI RWANDA NA BIRTHDAY CONCERT



Kidumu ni msanii maarufu sana Africa Mashariki ambaye watu wengi huzania kwamba ni Mkenya lakini sio, Kidumu ni msanii raiya wa Burundi lakini anafanyi mziki wake Nairobi Kenya. ni msanii ambaye hupenda na kila lika na ni msanii mzoefu sana wa ku perform na band mziki wa live.

Tuki ongea na Manager wake AHMED Pacific, ametutangazia kwamba Kidumu anakuja Rwanda siku ya Ijumaa tarehe 28 November 2014 kwaajili ya Concert moja tu ambayo itafanyikia Kigali SERENA Hotel, ambapo msanii huyu ata kuwa akisherekea miaka 40 ya kuzaliwa na akiwa ba\do yupo kwenye mziki.
Na kwenye concert hii atakuwa kasindikizwa na msanii kutoka Burundi anaye julikana kama SAT-B pamoja na Man Martin msanii maarufu wa Rwanda.

NEW MUSIC - JOSE CHAMELEONE - MILLIANO.

Msanii kutoka Uganda Jose Chamelione ambaye ni msanii maarufu sana Africa Mashariki, ame achia ngoma mpya iitwayo  MILLIANO. Msanii huyu amekuwa ni msanii wa all the time yaani kila mara akitoa ngoma ni noma

Artist - Jose Chameleone

<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed.php?fn=413lwza76oqo" scrolling="no" frameborder="0" width="100%" height="197px"></iframe>